Maria De Mattias Secondary School - Items filtered by date: كانون1/ديسمبر 2023
الثلاثاء, 06 آب/أغسطس 2024 19:16

USAILI KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025

NAFASI ZA PRE-FORM ONE 2024/2025

Uongozi wa Shule ya Sekondari Maria De Mattias inayopatikana Kisasa “B” Manispaa ya Dodoma, unawatanagzia wazazi/walezi wote nafasi za masomo ya PRE-FORM ONE na FORM ONE kwa mwaka wa masomo 2024/2025.

FOMU ZA KUJIUNGA

Fomu za kujiunga kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025 zinapatikana maeneo yafuatayo kwa gharama ya Tsh. 20,000/= tu.

  • Shuleni Maria De Mattias (Dodoma).
  • Morogoro, kwa Masista Waabuduo Damu ya Kristo (Kola B): 0762987474
  • Dar es Salaam, Mbezi Beach-Tangi Bovu kwa Masista: 0628291000
  • Dar es Salaam, Msimbazi Center Chumba namba 22. 0715265446
  • Moshi Bookshop (Kilimanjaro).

NAMNA YA KUJIUNGA

Usaili (interview) utafanyika tar 16/09/2024 shuleni Maria De Mattias (Dodoma) na Mbezi Beach Tangi Bovu (Dar es Salaam).

Muda wa kuripoti kituo cha mtihani ni saa moja kamili asubuhi.

NB: Shule ya Sekondari Maria De Mattias ni shule ya Bweni kwa O-LEVEL na A-LEVEL na ni ya wasichana tu.

 “ Mlete mwanao Maria De Mattias Sekondari kwa Elimu na Malezi bora”.

 

Published in News
السبت, 06 نيسان/أبريل 2024 05:00

USAILI KIDATO CHA TANO KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025

 USAILI KIDATO CHA TANO MWAKA WA MASOMO 2024/2025

Uongozi wa shule ya Sekondari Maria De Mattias unatangaza nafasi za masomo kwa kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2024/2025 katika michepuo ifuatayo:

PCB, CBG,PCM,PGM,EGM,HGE,HGK, HGL na ECA.

Fomu za kujiunga zinapatikana;

(i) Shuleni kwa gharama ya Tsh 20,000/= tu.

(ii) Dar es Salaam Msimbazi Center na Mbezi Beach Tanki Bovu kwa Masista Waabuduo damu ya Kristu kwa gharama ya Tsh 25,000/= tu.

 

USAILI UTAFANYIKA SHULENI MARIA DE MATTIAS SIKU YA JUMANNE TAR 09/04/2024 SAA 02:00 ASUBUHI

KWA MAWASILIANO ZAIDI WASILIANA NA UONGOZI WA SHULE KUPITIA:

(a) 0745141511 au 0769726461 au 0756715173.

Published in News
الجمعة, 25 آب/أغسطس 2023 07:04

Tangazo la Masomo Kidato cha 5 2023

SHULE YASEKONDARI YA WASICHANA MARIA DE MATTIAS INAKUTANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KWA KIDATO CHA TANO KWA MWAKA WA MASOMO 2023/2024 KWA (TAHASUSI) COMBINATION ZIFUATAZO

CBG, PCB, PCM, PGM, EGM, HGE, ECA, HKL, HGK, HGL

Maria De Mattias sekondari ni shule ya Bweni  kwa wasichana  pekee inayomilikiwa na Masista Waabuduo Damu ya Kristo (ASC). Shule ipo umbali wa km6 kutoka katikati ya Jiji la Dodoma barabara ya Morogoro karibu na stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani, Shule ina mazingira Mazuri ya kujifunzia, Maktaba Bora yenye vitabu vyote kwa masomo Yote, Maabara ya kisasa ya Komputa, Walimu wenye sifa Bora na uzoefu wa kufundisha Pia shule ina maabara nzuri kwa masomo ya sayansi. Huduma bora za Bweni, Malezi bora kwa Mwanafunzi yanayozingatia Maadili ya kikristo na ya kiafrika.

Sifa za muombaji.

Muombaji awe amefaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza na daraja la pili katika mitihani yake ya kitaifa ya kidato cha nne na kupata alama A na B katika tahasusi yake anayotarajia kusoma kidato cha tano na kwa mwanafunzi anayetarajia kusoma miongoni mwa tahasusi hizi za    EGM, PCM, na PGM lazima awe amefaulu somo la hesabu na kupata alama ya C katika somo hilo na tahasusi zingine kama PCB, CBG, HGE, ECA, HKL, HGK, HGL  angalau ufaulu wa alama ya D katika somo la hesabu

  • Fomu ya kujiunga na kidato cha tano inapatikana shuleni Maria De Mattias au unaweza kupakua fomu hizo katika tovuti ya shule ambayo ni www.mariademattiassec.sc.tz au kwa maelekezo zaidi wasiliana nasi kwa namba za simu zifuatazo. 0679 72 64 61 / 0745 14 15 11 au 0755 155140.
  • Fomu inapatikana kwa gharama ya Tsh. 25,000 na inalipwa shuleni moja kwa moja.

"Karibu shule ya Sekondari Maria De Mattias kwa Elimu Bora ya mtoto wako.”

Published in News
الجمعة, 25 آب/أغسطس 2023 06:56

Tangazo la Masomo Kidato cha Kwanza 2024

SHULE YASEKONDARI YA WASICHANA MARIA DE MATTIAS INAKUTANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KWA KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2024

Maria De Mattias sekondari ni shule ya Bweni  kwa wasichana  pekee inayomilikiwa na Masista Waabuduo Damu ya Kristo (ASC). Shule ipo umbali wa km6 kutoka katikati ya Jiji la Dodoma barabara ya Morogoro karibu na stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani, Shule ina mazingira Mazuri ya kujifunzia, Maktaba Bora yenye vitabu vyote kwa masomo Yote, Maabara ya kisasa ya Komputa, Walimu wenye sifa Bora na uzoefu wa kufundisha Pia shule ina maabara nzuri kwa masomo ya sayansi. Huduma bora za Bweni, Malezi bora kwa Mwanafunzi yanayozingatia Maadili ya kikristo na ya kiafrika.

  • Fomu ya kujiunga na kidato cha kwanza inapatikana shuleni Maria De Mattias au unaweza kupakua fomu hizo katika tovuti ya shule ambayo ni www.mariademattiassec.sc.tz au kwa maelekezo zaidi wasiliana nasi kwa namba za simu zifuatazo. 0679 72 64 61 / 0745 14 15 11/0756 71 51 73 au 0784 25 02 53.
  • Kwa Wakazi wa Dar es Salaam Fomu za Kujiunga zinapatikana Mbezi Beach Tangi Bovu kwa Masista waabuduo damu ya kristu
  • Fomu inapatikana kwa gharama ya Tsh. 20,000 na inalipwa shuleni moja kwa moja.
  • Mtihani wa Kujiunga Utafanyika tarehe 18/09/2022

"Karibu shule ya Sekondari Maria De Mattias kwa Elimu Bora ya mtoto wako.”

Published in News
الأربعاء, 08 حزيران/يونيو 2022 08:03

Tangazo la Masomo Kidato cha Kwanza 2022-2023

SHULE YASEKONDARI YA WASICHANA MARIA DE MATTIAS INAKUTANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KWA KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2021/2022

Maria De Mattias sekondari ni shule ya Bweni  kwa wasichana  pekee inayomilikiwa na Masista Waabuduo Damu ya Kristo (ASC). Shule ipo umbali wa km6 kutoka katikati ya Jiji la Dodoma barabara ya Morogoro karibu na stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani, Shule ina mazingira Mazuri ya kujifunzia, Maktaba Bora yenye vitabu vyote kwa masomo Yote, Maabara ya kisasa ya Komputa, Walimu wenye sifa Bora na uzoefu wa kufundisha Pia shule ina maabara nzuri kwa masomo ya sayansi. Huduma bora za Bweni, Malezi bora kwa Mwanafunzi yanayozingatia Maadili ya kikristo na ya kiafrika.

  • Fomu ya kujiunga na kidato cha kwanza inapatikana shuleni Maria De Mattias au unaweza kupakua fomu hizo katika tovuti ya shule ambayo ni www.mariademattiassec.sc.tz au kwa maelekezo zaidi wasiliana nasi kwa namba za simu zifuatazo. 0679 72 64 61 / 0745 14 15 11/0756 71 51 73 au 0784 25 02 53.
  • Kwa Wakazi wa Dar es Salaam Fomu za Kujiunga zinapatikana Mbezi Beach Tangi Bovu kwa Masista waabuduo damu ya kristu
  • Fomu inapatikana kwa gharama ya Tsh. 20,000 na inalipwa shuleni moja kwa moja.
  • Mtihani wa Kujiunga Utafanyika tarehe 10/10/2022

"Karibu shule ya Sekondari Maria De Mattias kwa Elimu Bora ya mtoto wako.”

Published in News
الثلاثاء, 21 أيلول/سبتمبر 2021 09:43

JOINING INSTRUCTION F.1 ,2021-2022

Published in News
الأربعاء, 09 حزيران/يونيو 2021 09:31

Tangazo la Masomo Kidato cha 5 2022-2023

SHULE YASEKONDARI YA WASICHANA MARIA DE MATTIAS INAKUTANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KWA KIDATO CHA TANO KWA MWAKA WA MASOMO 2022/2023 KWA (TAHASUSI) COMBINATION ZIFUATAZO

CBG, PCB, PCM, PGM, EGM, HGE, ECA, HKL, HGK, HGL

Maria De Mattias sekondari ni shule ya Bweni  kwa wasichana  pekee inayomilikiwa na Masista Waabuduo Damu ya Kristo (ASC). Shule ipo umbali wa km6 kutoka katikati ya Jiji la Dodoma barabara ya Morogoro karibu na stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani, Shule ina mazingira Mazuri ya kujifunzia, Maktaba Bora yenye vitabu vyote kwa masomo Yote, Maabara ya kisasa ya Komputa, Walimu wenye sifa Bora na uzoefu wa kufundisha Pia shule ina maabara nzuri kwa masomo ya sayansi. Huduma bora za Bweni, Malezi bora kwa Mwanafunzi yanayozingatia Maadili ya kikristo na ya kiafrika.

Sifa za muombaji.

Muombaji awe amefaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza na daraja la pili katika mitihani yake ya kitaifa ya kidato cha nne na kupata alama A na B katika tahasusi yake anayotarajia kusoma kidato cha tano na kwa mwanafunzi anayetarajia kusoma miongoni mwa tahasusi hizi za    EGM, PCM, na PGM lazima awe amefaulu somo la hesabu na kupata alama ya C katika somo hilo na tahasusi zingine kama PCB, CBG, HGE, ECA, HKL, HGK, HGL  angalau ufaulu wa alama ya D katika somo la hesabu

  • Fomu ya kujiunga na kidato cha tano inapatikana shuleni Maria De Mattias au unaweza kupakua fomu hizo katika tovuti ya shule ambayo ni www.mariademattiassec.sc.tz au kwa maelekezo zaidi wasiliana nasi kwa namba za simu zifuatazo. 0679 72 64 61 / 0745 14 15 11 au 0755 155140.
  • Fomu inapatikana kwa gharama ya Tsh. 25,000 na inalipwa shuleni moja kwa moja.

"Karibu shule ya Sekondari Maria De Mattias kwa Elimu Bora ya mtoto wako.”

Published in News
الصفحة 2 من 3

Contact us

Web Traffic

Today117
Yesterday239
This week430
This month875
Total288904

Follow us on

Top
We use cookies to improve our website. By continuing to use this website, you are giving consent to cookies being used. More details…