USAILI KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025

  • 06/08/2024

NAFASI ZA PRE-FORM ONE 2024/2025

Uongozi wa Shule ya Sekondari Maria De Mattias inayopatikana Kisasa “B” Manispaa ya Dodoma, unawatanagzia wazazi/walezi wote nafasi za masomo ya PRE-FORM ONE na FORM ONE kwa mwaka wa masomo 2024/2025.

FOMU ZA KUJIUNGA

Fomu za kujiunga kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025 zinapatikana maeneo yafuatayo kwa gharama ya Tsh. 20,000/= tu.

  • Shuleni Maria De Mattias (Dodoma).
  • Morogoro, kwa Masista Waabuduo Damu ya Kristo (Kola B): 0762987474
  • Dar es Salaam, Mbezi Beach-Tangi Bovu kwa Masista: 0628291000
  • Dar es Salaam, Msimbazi Center Chumba namba 22. 0715265446
  • Moshi Bookshop (Kilimanjaro).

NAMNA YA KUJIUNGA

Usaili (interview) utafanyika tar 16/09/2024 shuleni Maria De Mattias (Dodoma) na Mbezi Beach Tangi Bovu (Dar es Salaam).

Muda wa kuripoti kituo cha mtihani ni saa moja kamili asubuhi.

NB: Shule ya Sekondari Maria De Mattias ni shule ya Bweni kwa O-LEVEL na A-LEVEL na ni ya wasichana tu.

 “ Mlete mwanao Maria De Mattias Sekondari kwa Elimu na Malezi bora”.

 

Share

Contact us

Web Traffic

Today105
Yesterday239
This week418
This month863
Total288892

Follow us on

Top
We use cookies to improve our website. By continuing to use this website, you are giving consent to cookies being used. More details…