USAILI KIDATO CHA TANO KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025

  • 06/04/2024

 USAILI KIDATO CHA TANO MWAKA WA MASOMO 2024/2025

Uongozi wa shule ya Sekondari Maria De Mattias unatangaza nafasi za masomo kwa kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2024/2025 katika michepuo ifuatayo:

PCB, CBG,PCM,PGM,EGM,HGE,HGK, HGL na ECA.

Fomu za kujiunga zinapatikana;

(i) Shuleni kwa gharama ya Tsh 20,000/= tu.

(ii) Dar es Salaam Msimbazi Center na Mbezi Beach Tanki Bovu kwa Masista Waabuduo damu ya Kristu kwa gharama ya Tsh 25,000/= tu.

 

USAILI UTAFANYIKA SHULENI MARIA DE MATTIAS SIKU YA JUMANNE TAR 09/04/2024 SAA 02:00 ASUBUHI

KWA MAWASILIANO ZAIDI WASILIANA NA UONGOZI WA SHULE KUPITIA:

(a) 0745141511 au 0769726461 au 0756715173.

Share

Contact us

Web Traffic

Today89
Yesterday239
This week402
This month847
Total288876

Follow us on

We use cookies to improve our website. By continuing to use this website, you are giving consent to cookies being used. More details…