USAILI KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025

  • 06/08/2024

NAFASI ZA PRE-FORM ONE 2024/2025

Uongozi wa Shule ya Sekondari Maria De Mattias inayopatikana Kisasa “B” Manispaa ya Dodoma, unawatanagzia wazazi/walezi wote nafasi za masomo ya PRE-FORM ONE na FORM ONE kwa mwaka wa masomo 2024/2025.

FOMU ZA KUJIUNGA

Fomu za kujiunga kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025 zinapatikana maeneo yafuatayo kwa gharama ya Tsh. 20,000/= tu.

  • Shuleni Maria De Mattias (Dodoma).
  • Morogoro, kwa Masista Waabuduo Damu ya Kristo (Kola B): 0762987474
  • Dar es Salaam, Mbezi Beach-Tangi Bovu kwa Masista: 0628291000
  • Dar es Salaam, Msimbazi Center Chumba namba 22. 0715265446
  • Moshi Bookshop (Kilimanjaro).

NAMNA YA KUJIUNGA

Usaili (interview) utafanyika tar 16/09/2024 shuleni Maria De Mattias (Dodoma) na Mbezi Beach Tangi Bovu (Dar es Salaam).

Muda wa kuripoti kituo cha mtihani ni saa moja kamili asubuhi.

NB: Shule ya Sekondari Maria De Mattias ni shule ya Bweni kwa O-LEVEL na A-LEVEL na ni ya wasichana tu.

 “ Mlete mwanao Maria De Mattias Sekondari kwa Elimu na Malezi bora”.

 

Share

Contact us

Web Traffic

Today716
Yesterday884
This week1600
This month716
Total201297

Follow us on