CSEE 2025 EXAMINATION RESULTS
FORM TWO NATIONAL ASSESSMENT (FTNA) 2025 RESULTS
NAFASI ZA MASOMO KWA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2026
NAFASI ZA MASOMO KWA KIDATO CHA KWANZA MWAKA: 2026 NA KIDATO CHA TANO (FV) MWAKA 2025/2026;
Uongozi wa Shule ya Sekondari Maria De Mattias inayopatikana Kisasa “B” Manispaa ya Dodoma, unawatangazia wazazi/walezi wote nafasi za masomo kwa Kidato cha kwanza kwa mwaka 2026 na kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2025/2026.
- Kidato cha Tano (FV) nafasi bado zipo kwa Tahasusi (Combination) zifuatazo:
- PCB, PCM, CBG, PGM, EGM, HGE, HGL na HKL.
FOMU ZA KUJIUNGA
Fomu za kujiunga kidato cha kwanza mwaka 2026 na kidato cha tano (FV) kwa mwaka wa masomo 2025/2026 zinapatikana maeneo yafuatayo kwa gharama ya Tsh. 20,000/= tu.
- Shuleni Maria De Mattias (Dodoma).
- Katika tovuti yetu ya shule ambayo ni: www.mariademattiassec.sc.tz.
- Morogoro, kwa Masista Waabuduo Damu ya Kristo (Kola B): 0762987474.
- Dar es Salaam, Mbezi Beach-Tangi Bovu kwa Masista: 0628291000.
- Dar es Salaam, Msimbazi Center Chumba namba 22. 0715265446.
- Moshi Bookshop (Kilimanjaro).
NAMNA YA KUJIUNGA
Usaili (interview) utafanyika tar 16/09/2025 shuleni Maria De Mattias (Dodoma) na Mbezi Beach Tangi Bovu (Dar es Salaam).
Muda wa kuripoti kituo cha mtihani ni saa moja kamili asubuhi.
NB: Shule ya Sekondari Maria De Mattias ni shule ya Bweni kwa O-LEVEL na A-LEVEL na ni ya wasichana tu.
“Mlete mwanao Maria De Mattias Sekondari kwa Elimu na Malezi bora”.
CSEE 2024 EXAMINATION RESULTS
FORM TWO NATIONAL ASSESSMENT (FTNA) 2024 RESULTS
USAILI WA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2024/2025
NAFASI ZA PRE-FORM ONE KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025
Uongozi wa Shule ya Sekondari Maria De Mattias inayopatikana Kisasa “B” Manispaa ya Dodoma, unawatangazia wazazi/walezi wote nafasi za masomo ya PRE-FORM ONE na FORM ONE kwa mwaka wa masomo 2024/2025.
FOMU ZA KUJIUNGA
Fomu za kujiunga kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025 zinapatikana maeneo yafuatayo kwa gharama ya Tsh. 20,000/= tu.
- Shuleni Maria De Mattias (Dodoma).
- Katika tovuti yetu ya shule ambayo ni www.mariademattiassec.sc.tz.
- Morogoro, kwa Masista Waabuduo Damu ya Kristo (Kola B): 0762987474
- Dar es Salaam, Mbezi Beach-Tangi Bovu kwa Masista: 0628291000
- Dar es Salaam, Msimbazi Center Chumba namba 22. 0715265446
- Moshi Bookshop (Kilimanjaro).
NAMNA YA KUJIUNGA
Usaili (interview) utafanyika tar 30/09/2024 shuleni Maria De Mattias (Dodoma) na Mbezi Beach Tangi Bovu (Dar es Salaam).
Muda wa kuripoti kituo cha mtihani ni saa moja kamili asubuhi.
NB: Shule ya Sekondari Maria De Mattias ni shule ya Bweni kwa O-LEVEL na A-LEVEL na ni ya wasichana tu.
“Mlete mwanao Maria De Mattias Sekondari kwa Elimu na Malezi bora”.